{"id":9665,"date":"2024-02-20T20:49:01","date_gmt":"2024-02-20T20:49:01","guid":{"rendered":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/?p=9665"},"modified":"2024-02-20T20:49:01","modified_gmt":"2024-02-20T20:49:01","slug":"matangazo-ya-dominica-ya-1-ya-kwaresima-mwaka-b-18-02-2024","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/matangazo-ya-dominica-ya-1-ya-kwaresima-mwaka-b-18-02-2024\/","title":{"rendered":"MATANGAZO YA DOMINICA YA 1 YA KWARESIMA MWAKA \u2018B\u2019\u2013 18\/02\/2024"},"content":{"rendered":"<p>1. Tarehe <strong>23\/2\/2024<\/strong> siku ya Ijumaa Njia ya Msalaba wataongoza <strong>KANDA YA GETHSEMAN.<\/strong><\/p>\n<p>2. Bahasha za Kwaresma zinapatikana kwenye stuli za masanduku pamoja na mlango mkubwa wa kuingia kanisani.<br \/>\nWaamini mnaombwa kuzichukua na kuzirejesha kabla ya Pasaka.<\/p>\n<p>3. Viongozi wa Jumuiya mnaombwa kuchukua Bahasha za Pasaka katika Ofisi ya Parokia.<\/p>\n<p>4. Tarehe 01\/04\/2024 kutakuwa na Ubatizo wa watoto wachanga. Wazazi na walezi mnaombwa kuchukua fomu za<br \/>\nubatizo katika ofisi ya Parokia.<\/p>\n<p>5. Karismatiki Katoliki Parokia ya Mt. Gemma Galgan Nkuhungu wanawaalika waamini wote kwenye Kongamano la<br \/>\nkumrudia Mungu kwa Toba litakalo fanyika kuanzia tarehe 23\/2 \u2013 2\/3\/2024 katika viwanja vya Parokia ya Nkuhungu.<br \/>\nNyote mnakaribishwa.<\/p>\n<p>6. Leo mara baada ya Misa ya pili, Masista watawapelekea wagonjwa na wazee Ekaristi Takatifu kwenye Jumuiya<br \/>\nzifuatazo MT. MARIA GORETI, MT. ALBERTO HURTADO, MT. BERNADETHA, MT. NICHOLAUS<br \/>\nOWEN, MT. ANDREA KAGWA, MT. ALPHONCE RODRIGUEZ. Jumapili Ijayo wajiandae Jumuiya<br \/>\nzifuatazo: MT. KAROLI LWANGA, MT. ROBERT BELLARMINE, MT. ANTONY WA PADUA, MT. PAULO<br \/>\nMIKI, MT. FRANCIS BORGIA, MT. PETER CLAVERY. Mama na baba huruma mnaombwa kuwachukua Masista<br \/>\nkaribu na Sakristia.<\/p>\n<p>7. Tunashukuru Jumuiya ya MT. AGATHA na MT. MAGRETH MARIA ALACOQUE kwa kazi nzuri ya usafi na<br \/>\nkusimamia utaratibu wa Ibada. Juma lijalo ni zamu ya Jumuiya ya (A) MT. KIZITO na (B) MT. STANSLAUS<br \/>\nKOSTIKA Jumuiya ya B.M.T.L na MT. FRANCIS JEROME wajiandae<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>1. Tarehe 23\/2\/2024 siku ya Ijumaa Njia ya Msalaba wataongoza KANDA YA GETHSEMAN. 2. Bahasha za Kwaresma zinapatikana kwenye stuli<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":9641,"comment_status":"open","ping_status":"open","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[72],"tags":[],"class_list":["post-9665","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-matangazo"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/9665","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=9665"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/9665\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":9666,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/9665\/revisions\/9666"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/media\/9641"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=9665"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=9665"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/wp.vormia.com\/jesuits\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=9665"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}